Search Latest topics Who is online? In total there are 2 users online :: 0 Registered, 0 Hidden and 2 Guests None Most users ever online was 30 on Sun Apr 26, 2015 9:31 am | MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015 Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin Kura WAKATI zoezi la upigaji kura lililoanza tangu majira ya saa moja asubuhi ya leo likiwa limeisha katika maeneo mbalimbali saa kumi jioni, kinachosubiriwa sasa ni matokeo ya awali ya kura za Madiwani, Wabunge na hatimaye kura za wagombea urais ambayo yatatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Tutawaletea matokeo haya kadri tutakapoyapokea kutokana na jinsi wasimamizi wa uchaguzi … [ Full reading ] Comments: 0 Mbunge wa Ukonga Eugene Mwaiposa Afariki Wed Jun 03, 2015 7:55 am by Admin kafariki majira ya saa nne asubuhi mjini Dodoma. Haijafahamika vema kama alikuwa anaumwa nini, lakini taarifa za awali zinasema, Amefia Rock hotel, jirani na kituo cha mafuta cha Shabiby. Comments: 0 Breaking News: Ajali Mbaya Iringa Kontena Laangukia Basi la Abiria Wed Mar 11, 2015 5:20 pm by Admin Hizi safar hizi...jaman ukipanda gar unashukuru na ukishuka salama pia husisahau kushukuru.... Amjali imetokea changalawe mafinga basi la Majinja limeangukiwa na kontena muda huu hali si nzuri.... Inasemekana watu Karibia wote Wamapoteza maisha.....MUNGU AZILAZE MAHAL PEMA PEPON ROHO ZA MAREHEM JAMAN.....DUH... Updates Taarifa za awali kutoka jeshi la polisi mkoani Iringa zinaeleza kuwa basi … [ Full reading ] Comments: 0 Ushauri Kwa Agness Masogange..Acha Kupost Makalio Insta Nafasi Uliyonayo Haija Mara Mbili na Umri Unazidi Kwenda Mon Mar 09, 2015 9:24 pm by Admin Kwa mtu ambaye ametokea kwenye maisha ya kawaida kama Aggy, bila shaka nafasi hiyo adimu aliyoipata angeitendea haki, either kwa kujiendeleza kielimu au kibiashara. Ni mda mrefu umepita toka binti huyo mrembo apate shavu la kuishi kwenye ardhi ya Madiba yenye kila aina ya starehe bila kufanya kitu chochote cha maendeleo. Ki ukweli Dada yetu huyu kajibweteka mno, hata kama umepata mwanaume mwenye … [ Full reading ] Comments: 0 Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo Mon Mar 09, 2015 9:23 pm by Admin Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo..... Jisomee Hapa Chini: Comments: 0 Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari..Wapelekana Hadi Polisi Mon Mar 09, 2015 9:22 pm by Admin Mama wa Staa wa Bongo Movies,Wema Sepetu anadaiwa kumzaba vibao askari wa kampuni binafsi. Kwa mujibu wa shuhuda watukio zima, tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi lilijiri kwenye Bandari ya Dar es Salaam, majira ya mchana Ijumaa iliyopita. Awali ya yote shuhuda huyo alihojiwa kama s kama anamjua vizuri mama Wema ambapo alithibitisha kuwa ni yeye huku akisapotiwa na wenzake waliokuwa … [ Full reading ] Comments: 0 WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND Mon Mar 09, 2015 9:21 pm by Admin STAA wa sinema asiyekaukiwa matukio Bongo, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu. “Heeeh! … [ Full reading ] Comments: 0 Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini Mon Mar 09, 2015 9:20 pm by Admin Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi. Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina kimedai kuwa, Penny na Swedi wanaishi pamoja maeneo ya Mwananyamala jijini … [ Full reading ] Comments: 0 Tukio lingine la Mtoto Albino Kukatwa Kiganja cha Mkono hili hapa, Mama yake Ajeruhiwa Vibaya Mon Mar 09, 2015 9:18 pm by Admin LICHA ya Serikali, jamii na jumuiya ya kimataifa kukemea ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), bado kuna wanaoendelea kung’ang’ania mila potofu za kuamini kwamba bila ya ushirikina unaohusishwa na matumizi ya viungo vya albino, hawawezi kufanikiwa kimaisha, iwe katika kisiasa au kibiashara. Hayo yanathibitishwa na kuendelea kuripotiwa kwa matukio ya ukatili dhidi ya albino, … [ Full reading ] Comments: 0 Social bookmarking | Statistics We have 1 registered userThe newest registered user is Admin Our users have posted a total of 54 messages in 54 subjects |
|
|
Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin
» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Sat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin
» Tatizo sugu LA Ajira
Sat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin
» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Sat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Wed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin
» Fun fact teehe
Wed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin