WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND
STAA wa sinema asiyekaukiwa matukio Bongo, Wema Sepetu amezua kioja cha aina yake baada ya kutajiwa jina la aliyekuwa mwandani wake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.
“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia, hapa nataka kusikia mimi na maisha yangu na si maisha ya mtu mwingine,” alisikika Wema.
Kioja hicho alikifanya juzikati nyumbani kwake, Kijitonyama jiji Dar alipokuwa akirekodi kipindi chake cha In My Shoes ndipo aliposhtuka baada kutumiwa maoni na moja wa shabiki wake kupitia mtandao wa simu.
“Heeeh! Huyu vipi tena ananitajia jina hili (Diamond)? Sitaki kabisa kulisikia, hapa nataka kusikia mimi na maisha yangu na si maisha ya mtu mwingine,” alisikika Wema.
Similar topics
» Wema Sepetu Aukana Wimbo Wa Diamond Platnumz
» Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari..Wapelekana Hadi Polisi
» Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi
» Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo
» Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini
» Ubuyu:Mama Wema Amzaba Vibao Askari..Wapelekana Hadi Polisi
» Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi
» Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo
» Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin
» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Sat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin
» Tatizo sugu LA Ajira
Sat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin
» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Sat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Wed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin
» Fun fact teehe
Wed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin