Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
Hivi Mnajua Kuwa Penny Kapata Mrithi wa Diamond? Kama Hamjui Basi Hiyo Ndiyo Habari ya Mjini
Live! Mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’, baada ya kukaa muda mrefu akiwa ‘singo’ tangu aachane na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kupata mrithi wa msanii huyo aliyetajwa kwa jina moja la Swedi.
Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina kimedai kuwa, Penny na Swedi wanaishi pamoja maeneo ya Mwananyamala jijini Dar na wamekuwa wakioneshana mahaba nilegeze hata mbele za watu huku mara kadhaa wakitupia picha zao za pamoja kwenye mitandao ya kijamii.
“Hivi ninyi mnajua kuwa Penny kapata mrithi wa Diamond? Kama hamjui basi hiyo ndiyo habari ya mjini.
“Kwa taarifa yenu wanapika na kupakua na hakuna asiyejua hilo, kama vipi fuatilieni mtapata ukweli,” alidai mtoa habari huyo.
Katika kujiridhisha, waandishi wetu walianza kufuatilia kwa kufika kwenye nyumba anayoishi Penny na kukuta imefungwa ila baadhi ya majirani walidai kuwa, wanajua uhusiano wa Penny na Swedi kwani wanawaona kila siku wakiingia na kutoka.
Penny alipotafutwa kupitia simu yake ya mkononi ili afunguke juu ya hilo, iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa sms hakujibu hadi tunakwenda mtamboni hivyo jitihada za kumpata ili aweke mambo sawa zinaendelea
Similar topics
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
» Breaking News: Ajali Mbaya Iringa Kontena Laangukia Basi la Abiria
» Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi
» Wema Sepetu Aukana Wimbo Wa Diamond Platnumz
» WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND
» Breaking News: Ajali Mbaya Iringa Kontena Laangukia Basi la Abiria
» Wema Sepetu Amsifia Chaz Baba kuwa Ndiye Aliyekuwa Mwanaume Halisi
» Wema Sepetu Aukana Wimbo Wa Diamond Platnumz
» WEMA Ageuka mbogo baada ya kutajwa jina la DIAMOND
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin
» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Sat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin
» Tatizo sugu LA Ajira
Sat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin
» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Sat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Wed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin
» Fun fact teehe
Wed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin