MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015
Kura
WAKATI zoezi la upigaji kura lililoanza tangu majira ya saa moja asubuhi ya leo likiwa limeisha katika maeneo mbalimbali saa kumi jioni, kinachosubiriwa sasa ni matokeo ya awali ya kura za Madiwani, Wabunge na hatimaye kura za wagombea urais ambayo yatatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Tutawaletea matokeo haya kadri tutakapoyapokea kutokana na jinsi wasimamizi wa uchaguzi watakapokuwa wameyabandika katika vituo ambavyo wananchi wamepigia kura.
Wagombea mbalimbali kutoka Tanzania Bara na Visiwani wameshiriki zoezi la kupiga kura katika maeneo yao. Zoezi la upigaji kura linameendelea kwa amani kutoka sehemu zote za Tanzania.
Update 20:15hrs
Kituo C, Lemanyata, Arumeru Magharibi
Kura: 428
Magufuli (CCM): 324
Edward Lowassa (Chadema): 91
Kituo A, Lemanyata, Arumeru Magharibi
Kura: 431
Magufuli (CCM): 372
Edward Lowassa (Chadema): 49
Kituo cha Ilmanyara, Longido
Kura: 105
Magufuli (CCM): 56
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Engutoto, Longido
Kura: 120
Magufuli (CCM): 73
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Tenki la Maji, Iringa Mjini
Kura: 189
Magufuli (CCM): 98
Edward Lowassa (Chadema): 89
Kituo cha Tukuyu 3, Mbeya
Kura: 234
Magufuli (CCM): 102
Edward Lowassa (Chadema): 130
Kituo cha Shule ya Msingi Meru 2, Arusha Mjini
Kura: 290
Magufuli (CCM): 200
Edward Lowassa (Chadema): 90
Kituo cha Shuleni, Sanje, Kilombero
Kura: 220
Magufuli (CCM): 157
Edward Lowassa (Chadema): 53
Kituo cha Kidete, Kilosa, Morogoro
Kura: 243
Magufuli (CCM): 189
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Ituli, Mpunguzi, Dodoma Mjini
Kura: 170
Magufuli (CCM): 157
Edward Lowassa (Chadema): 7
Matokeo ya awali Nafasi ya Urais Zanzibar
Jimbo: Mkoani
Shehia: Kisiwa Panza
CUF=777
CCM=155.
Jimbo la Kiwani Shehia ya Chole Kituo Skuli ya Kengeja Secondary:
Wapiga kura wote walikuwa ni = 142
CUF =107.
CCM=28.
ADC= 3.
Zilizoharibika baada ya kupigwa = 4.
Zilizoharibika kabla ya kupigwa= 0.
Kituo Skuli ya Bwana Moyo Wilaya ya Wete Jimbo la Mtambwe.
Kituo namba 1
Maalim Seif 317
Dkt.Shein 5
Kituo namba 2
Maalim Seif 220
Dkt.Shein 2.
Endelea kutufuatilia.
WAKATI zoezi la upigaji kura lililoanza tangu majira ya saa moja asubuhi ya leo likiwa limeisha katika maeneo mbalimbali saa kumi jioni, kinachosubiriwa sasa ni matokeo ya awali ya kura za Madiwani, Wabunge na hatimaye kura za wagombea urais ambayo yatatangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Tutawaletea matokeo haya kadri tutakapoyapokea kutokana na jinsi wasimamizi wa uchaguzi watakapokuwa wameyabandika katika vituo ambavyo wananchi wamepigia kura.
Wagombea mbalimbali kutoka Tanzania Bara na Visiwani wameshiriki zoezi la kupiga kura katika maeneo yao. Zoezi la upigaji kura linameendelea kwa amani kutoka sehemu zote za Tanzania.
Update 20:15hrs
Kituo C, Lemanyata, Arumeru Magharibi
Kura: 428
Magufuli (CCM): 324
Edward Lowassa (Chadema): 91
Kituo A, Lemanyata, Arumeru Magharibi
Kura: 431
Magufuli (CCM): 372
Edward Lowassa (Chadema): 49
Kituo cha Ilmanyara, Longido
Kura: 105
Magufuli (CCM): 56
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Engutoto, Longido
Kura: 120
Magufuli (CCM): 73
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Tenki la Maji, Iringa Mjini
Kura: 189
Magufuli (CCM): 98
Edward Lowassa (Chadema): 89
Kituo cha Tukuyu 3, Mbeya
Kura: 234
Magufuli (CCM): 102
Edward Lowassa (Chadema): 130
Kituo cha Shule ya Msingi Meru 2, Arusha Mjini
Kura: 290
Magufuli (CCM): 200
Edward Lowassa (Chadema): 90
Kituo cha Shuleni, Sanje, Kilombero
Kura: 220
Magufuli (CCM): 157
Edward Lowassa (Chadema): 53
Kituo cha Kidete, Kilosa, Morogoro
Kura: 243
Magufuli (CCM): 189
Edward Lowassa (Chadema): 40
Kituo cha Ituli, Mpunguzi, Dodoma Mjini
Kura: 170
Magufuli (CCM): 157
Edward Lowassa (Chadema): 7
Matokeo ya awali Nafasi ya Urais Zanzibar
Jimbo: Mkoani
Shehia: Kisiwa Panza
CUF=777
CCM=155.
Jimbo la Kiwani Shehia ya Chole Kituo Skuli ya Kengeja Secondary:
Wapiga kura wote walikuwa ni = 142
CUF =107.
CCM=28.
ADC= 3.
Zilizoharibika baada ya kupigwa = 4.
Zilizoharibika kabla ya kupigwa= 0.
Kituo Skuli ya Bwana Moyo Wilaya ya Wete Jimbo la Mtambwe.
Kituo namba 1
Maalim Seif 317
Dkt.Shein 5
Kituo namba 2
Maalim Seif 220
Dkt.Shein 2.
Endelea kutufuatilia.
Habari Forums :: Habari :: Habari
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin
» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Sat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin
» Tatizo sugu LA Ajira
Sat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin
» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Sat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Wed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin
» Fun fact teehe
Wed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin