Kuhusu Zitto Kabwe: CCM wamecheza game of mind kuelekea uchaguzi mkuu
Page 1 of 1
Kuhusu Zitto Kabwe: CCM wamecheza game of mind kuelekea uchaguzi mkuu
Zitto Kabwe
Maoni Huru kutoka kwa Mdau:
'Hatujui kweli kinachofurukuta mdani ya CHADEMA na hatujui kama kosa lilikuwa linavumilika ama haivumiliki.
Ila kitendo cha mahakama kufuta kesi ya Zitto haraka haraka inaweza ikawa ni game mind ya kisiasa ya CCM kwa sababu wanajua kuwa wazee wa kukurupuka watamfukuza haraka haraka na lazima kuna damage itatokea.
Au mnadhani kwa nini kesi imefutwa kuelekea uchaguzi?
Mimi sio mamluki hata huyo ZZK, sijawahi kumuona zaidi ya kwenye magazeti, ila kilichopo kwa sasa ni kuwa CCM imechokwa na CHADEMA haijajiandaa'
Similar topics
» Mwanasheria Albert Msando Afunguka kuhusu Kufukuzwa Zitto Kabwe Chadema
» MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015
» MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015
Page 1 of 1
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum
|
|
Sun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin
» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Sat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin
» Tatizo sugu LA Ajira
Sat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin
» Joke Of the Day
Sat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin
» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Sat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin
» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Wed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin
» Fun fact teehe
Wed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin