Habari Forums
Would you like to react to this message? Create an account in a few clicks or log in to continue.
Search
 
 

Display results as :
 


Rechercher Advanced Search

Keywords

mwanamke  Jinsi  

Latest topics
» MATOKEO YA AWALI UCHAGUZI MKUU 2015
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySun Oct 25, 2015 7:59 pm by Admin

» Upinzani Tanzania wazindua kampeni
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySat Aug 29, 2015 8:11 pm by Admin

» Joke Of the Day
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySun Jun 07, 2015 12:53 pm by Admin

» Tatizo sugu LA Ajira
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySat Jun 06, 2015 7:29 pm by Admin

» Joke Of the Day
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySat Jun 06, 2015 7:28 pm by Admin

» Joke Of the Day
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySat Jun 06, 2015 7:26 pm by Admin

» * MAFURIKO MAKUBWA YATOKEA MWANZA....
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptySat Jun 06, 2015 12:35 pm by Admin

» Lakini ungeweza Kama ungetaka
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptyWed Jun 03, 2015 1:03 pm by Admin

» Fun fact teehe
Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa EmptyWed Jun 03, 2015 8:21 am by Admin

May 2024
MonTueWedThuFriSatSun
  12345
6789101112
13141516171819
20212223242526
2728293031  

Calendar Calendar


Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa

Go down

Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa Empty Mashabiki watakiwa kutowapa lawama magoli kipa

Post by Admin Wed Mar 11, 2015 5:16 pm



Viongozi wa Vilabu na mashabiki nchini wametakiwa kuachana na tabia za kutoa lawama kwa magoli kipa wanaofungwa magoli mbalimbali ikiwemo kuhama goli na hatimaye kuweza kufungwa.

Akizungumza na East Africa Radio, Kocha wa Kituo cha Magoli Kipa nchini TGC, Peter Manyika amesema, katika mazoezi kipa anafundishwa na kutahadharishwa mambo mbalimbali hususani kulinda goli inapotekea hatari ya kufungwa.
Manyika amesema, mashabiki na viongozi wanapoendelea na lawama watakuwa wanabadilisha magolikipa kila kukicha kwani kila Golikipa anakuja na tatizo lake na suala linalotakiwa ni kufundishwa zaidi ili kuweza kufanya vizuri na wapo magoli kipa wanaofundishwa lakini wanafungwa aina ya magoli ambayo huzuilika.
Manyika amesema, Golikipa anakuwa amebeba jukumu la watu wote hivyo suala la kufanya makusudi ili aweze kufungwa katika mechi mbalimbali linakuwa ni gumu kwania anaamini kila mtu anamtegemea yeye awapo langoni.
--------------
Note:

Admin
Admin

Posts : 54
Join date : 09/03/2015

https://habariforums.forumotion.com

Back to top Go down

Back to top


 
Permissions in this forum:
You cannot reply to topics in this forum